Tuesday, October 31, 2023

Je wajua?

Pombe na kiyoyozi kwa waathirika wa HIV vinasababisha matatizo ya ngozi hususani kwa magonjwa ambaye tayari HIV imekwisha mshambulia sana. Pia pombe usababisha kupunguza uwezo wa dawa kupambana na virusi vya HIV. 

Iwapo umepatwa na tatizo la ngozi unapaswa kusimama kutumia pombe na kiyoyozi na kuanza mara moja kupaka mafuta yanayojulikana kwa jina la KOSC ni mafuta mazuri kwa ajili hiyo.

Kwa maelezo zaidi kuhusu Dawa za PHVs wasiliana nasi kwa simu namba +255782660707 au +255624066387 au WhatsApp +255782660707

Neno la leo: Aghali ndio nafuu na nafuu ndio aghali kwa maisha ya Tanzania.

Tuesday, October 24, 2023

Dalili nyemelezi za shindikizo la juu la damu.

1. Kukosa usingizi,

2. Kuwa na hali ya wasi wasi,

3. Kuhisi moyo unaning'inia,

4. Kichwa kuuma sana kizogoni,

5. Kuamka usingizini kwa sababu ya kichwa kuuma na iwapo utapata mkojo kichwa utulia,

6. Kichwa kuuma sana wakati ukiwa umetulia na unapotembea upata haueni,

Kichwa kuuma iwapo umetembea juani kwa mda wa nusu saa tuh,

7. kizunguzungu,

8. Kujihisi unakosa pumzi,

9. Kwa mama mjazito kuvimba miguu na kifafa cha mimba,

10. Tabia ya kupata mshtuko hadi kujisikia ovyo mwilini kwa tukio la ghafla.

Kwa maelezo zaidi kuhusu shindikizo la juu la damu na dawa za mfumo wa PHVs wasiliana nasi kwa simu namba +255782660707 au +255624066387 au WhatsApp +255782660707

Neno la leo: furaha ya maisha ni afya bora.

Thursday, October 19, 2023

FAIDA YA PHV-39 SOLUTION KWA MTOTO

Iwapo una mtoto ana matatizo ya kutokukua vizuri au amepata chanjo na muda wa maudhui ya chanjo uliowekwa na madaktari umepita ilhali bado mtoto anasumbuliwa au mtoto mwenye kuumwa mara kwa mara au mtoto mwenye HIV.

Suluhisho ni kutumia dawa inayoitwa PHV-39 solution itamfanya mtoto wako aondokewe na maudhi mara moja pindi atakaponza kuitumia na kusababisha mtoto kupata usingizi mzuri na kupona matatizo yake.

Kwa maelezo zaidi kuhusu elimu ya magonjwa na dawa wasiliana nasi kwa simu namba +255782660707 au +255624066387 au whatsApp +255782660707

Tuesday, October 17, 2023

MTAZAMO WA WATU KABLA YA KUPATWA NA SHINIKIZO LA JUU LA DAMU

Watu wengi wanapoambiwa na wataalamu wa afya  hata na wenzao walizoziona dalili kadhaa zinazopelekea kupatwa na shinikizo la juu la damu, hudharau huo ushauri, lakini niwatahadharishe pia name “ya kuwa ukijitambua kuwa una uzito mkubwa ambao haulingani na urefu wako tafadhali fanya bidii upunguze uzito, punguza ulaji wa kushiba sana,  

Uwe na mpangilio maalumu wa ulaji wa chakula (Wala sio kula hovyo njiani), fanya mazoezi, funga kula baadhi ya siku katika wiki.

Maswala haya ni muhimu sana iwapo umejitambua kuwa una uzito na unene wakupitiliza, kwani ugonjwa wa shinikizo la damu la juu ni ugonjwa unaotesa sana, hata hao wanaoumwa ugonjwa huo wanashindwa kujieleza vizuri wanavyojiskia na kubaki kusema dalili za kawaida ambapo watu wengi huchukulia kawaida tuh. Kwa maisha yako bora tafadhali chunga sana usipatwe na shinikizo la damu la juu!

Kwa maelezo zaidi kuhusiana na magonjwa na dawa za mfumo wa PHVs wasiliana nasi namba ya simu +255782660707 au +255624066387 au whatsApp +255782660707 

Neno la leo;Usiposikiliza la mkuu, mguu uota tende.ota tende.

Thursday, October 12, 2023

UNAWEZAJI KUKABILIANA NA TATIZO LA MSONGO WA MAWAZO?

Msongo wa mawazo ni chanzo kikuu kimojawapo kinachoathiri afya katika jamii. Ni chanzo ambacho kinauwezo wa kusababisha  matatizo ya aina mbali mbali ya afya yasiyotarajiwa, kwa sababu hii ni tatizo ambalo kila mmoja wetu anapaswa kulifahamu kwa undani ili kuweza kukabiliana nalo. 

Tatizo hili ni muendelezo wa fikra zilizokosa majibu sahihi kutokana na asili ya binadamu ambapo katika mchakato wa kifikra kunatokea mkanganyiko wa taarifa zinazohitajika mwilini kwa wakati husika na sehemu sahihi ya mwili. 

Taarifa hizi zinaambatana na vitendo ndani ya mwili na kusababisha athari za kiafya.

Kukabiliana na msongo wa mawazo kunatakiwa kila mmoja wetu awe na;

1. Elimu toshelezi ya utambuzi wa hali aliyokuwa nayo ya kiafya,

2. Kutafuta furaha ili kusahulisha mawazo yanayomsonga kuhusu afya yake kwa muda mrefu,

3. Kuhakikisha muda mwingi katika siku unautumia kwa kufanya kazi,

4. Kujizuia na upweke wakutokuwa na shughuli za kufanya,

5. Kufuata ratiba nzuri ya ulaji wa chakula,

6. Kufanya mazoezi ya afya mwisho wa siku kwa wiki mara tano hadi saba,

7. Kupata usingizi bora,

8. Kutumia dawa inayoitwa PHV-28/32A414.

Kwa maelezo zaidi kuhusu afya na dawa za PHVs wasiliana nasi kwa simu namba +255782660707 au +255624066387 au whatsApp +255782660707

Neno la leo; Kuamini na kutatua tatizo la kiafya kutakuwezesha kuishi maisha bora.

Wednesday, October 11, 2023

MATOKEO YA MSONGO WA MAWAZO KATIKA AFYA

Asilimia kubwa ya watu katika jamii wanaokumbwa na tatizo la msongo wa mawazo hushindwa  kuhimili kutokana na muingiliano wa taarifa anazozipata kutoka mwilini. Kwa mfano amepimwa shinikizo la damu akakutwa na presha ya juu, tokea hapo chochote kitakachomsumbua mwilini yeye udhani ni shinikizo la damu limepanda, hizi fikra zinasababisha kutokutambulika tatizo hasa linalomsumbua, kwani mshtuko wowote unaotokana na fikra husababisha shinikizo la damu kuwa juu, na kupoteza uhalisia wa tatizo.

 Wakati mwingine mwili unapopata tatizo unaleta taarifa za kawaida pamoja na za hitilafu mwilini, na hizo taarifa za kawaida zinawezekana zikawa kwa muhusika ni mara ya kwanza kumtokea kwa hiyo zinamchanganya kifikra na kudhani ni tatizo na kusababisha ongezeko la msongo wa mawazo ambao unaleta mwilini matatizo mengi.

Msongo wa mawazo unachakatwa na tafsiri kutoka kwenye ubongo ambao unasimamia mambo kadha wa kadha mwilini, na iwapo msongo wa mawazo umeshititi mwili hukosa muelekeo na kuanzishwa magonjwa ya aina mbali mbali mwilini. 

Msongo wa mawazo unasababisha wagonjwa wengi kutopona matatizo yao, iwapo hautopata matibabu yaliyokuwa sahihi.  

Kwa maelezo zaidi kuhusu magonjwa ya binadamu na dawa za mfumo wa PHVs wasiliana nasi kwa simu namba +255782660707 au +255624066387 au whatsApp +255782660707

Neno la leo; Kujifunza ni lazima ikiwa unahitaji maisha bora.

Wednesday, October 4, 2023

Je wajua?

Wagonjwa wengi waliotumia dawa za aina mbali mbali kwa kipindi kirefu huwa wanaweza kupatwa na hali ya utapia mlo  (marabsortion ) yaani  iwapo atakula chakula kinatoka kama kilivyo bila ya kubadirika.

Ukifikwa na hali hii kunywa maziwa ya mtindi kwani dawa ulizotumia ziliweza kuondoa au kuua wadudu wote waliokuwepo kwenye mfumo wa umeng'enyaji chakula Wadudu hawa wanaishi ndani ya mfumo huo kwa faida ambayo Binadam anapata manufaa kwa uwepo wao

Kwa maelezo zaidi kuhusu Dawa za mfumo wa PHVs wasiliana nasi kwa simu namba +255782660707 au +255624066387 au WhatsApp +255782660707

Tuesday, October 3, 2023

Je wajua?

Kipimo cha damu kinachoonyesha wingi wa virusi vya HIV mwilini ( viral load test) ni kipimo ambacho utumika kwa ajili ya ulinganifu wa utambuzi wa dawa za ARVs mwilini . Kipimo hiki si kwa ajili ya watu waliopima na kuthibitika kuwa hawana virusi vya HIV. Kusudio kubwa la kipimo hiki ni kuangalia ufanisi wa utendaji kazi wa ARVs dhidi ya mhusika si vinginevyo. 

Kipimo hiki kimeamuliwa hivyo kutokana na mapungufu yaliobebwa na kipimo.

1. Kirusi cha HIV hakijawai kuonekana, kwa hiyo kipimo cha wingi wa virusi kinapata nguvu ya nadharia kutokana na nadharia ya mwenendo wa virusi vya HIV mwilini. Inasemekana kuwa kirusi cha HIV kikivamia seli kinazaliana ndani ya hiyo seli kwa idadi kubwa zaidi ya elfu moja ndani ya nusu saa na kupasua hiyo seli na kuvamiwa seli nyingine na virusi hivyo na kuendelea. Walichokifanya ni kuangalia vitu vinyotoka ndani ya seli baada ya kupasuka na kufanya uwiano kuwa seli imepasuka asilimia fulani ndio kisio la virusi na asilimia iliyobaki ni vitu vingine kutoka ndani ya seli. Hapa tunajiuliza je ikiwa seli itapasuka kwa sababu nyingine? Kwa hiyo kipimo kitaonyesha taarifa isiyokusudiwa.

2. Kipimo hakitumiki kwa asiyekuwa na maambukizi kwani kitaonyesha majibu ya uwongo kwa kuwa seli upasuka hata kama mhusika ana msongo wa mawazo.

3. Kipimo cha wingi wa virusi mwilini kinatumika tu kwa ajili ya kupima utendaji kazi wa ARVs tu kwa sababu hakina uwezo wa kubainisha hali halisi ya idadi ya virusi mwilini bali inatoa kisio la kwenye damu tu.

Kwa hiyo ni makosa makubwa kupimwa mwenye virusi vya HIV ambaye ametumia dawa za mfumo mwingine kwani kipimo hakitoweza kubaini vyema utendaji kazi wa hiyo dawa labda na yenyewe iwe katika mfumo wa ARVs.

Kwa maelezo zaidi kuhusu Dawa za mfumo mpya za PHVs wasiliana nasi kwa simu namba +255782660707 au +255624066387 au WhatsApp +255782660707

Neno la leo: soma ili upate wepesi katika maisha, kwani dunia haikutambui kuwa wewe haujasoma bali inakushurutisha tu!

TUJIKUMBUSHE TUMETOKA WAPI NA HIVI SASA TUPO WAPI

Mwaka 1983; Bukoba, Ugonjwa HIV/AIDS umeshititi miongoni mwa watu wazima na kuacha watoto wadogo yatima, wakazi wa vijijini waanza kukimbia ...