Wagonjwa wengi waliotumia dawa za aina mbali mbali kwa kipindi kirefu huwa wanaweza kupatwa na hali ya utapia mlo (marabsortion ) yaani iwapo atakula chakula kinatoka kama kilivyo bila ya kubadirika.
Ukifikwa na hali hii kunywa maziwa ya mtindi kwani dawa ulizotumia ziliweza kuondoa au kuua wadudu wote waliokuwepo kwenye mfumo wa umeng'enyaji chakula Wadudu hawa wanaishi ndani ya mfumo huo kwa faida ambayo Binadam anapata manufaa kwa uwepo wao
Kwa maelezo zaidi kuhusu Dawa za mfumo wa PHVs wasiliana nasi kwa simu namba +255782660707 au +255624066387 au WhatsApp +255782660707
No comments:
Post a Comment