Thursday, September 28, 2023

UFASAHA KUHUSU UKIMWI

SABABU ZA WATU KUWA NA HALI YA UKIMWI:

1. Kukosa vyakula vyenye lishe bora au janga la njaa.

2. Kuwa na msongo wa mawazo kwa kipindi kirefu cha maisha.

3. Kutumia madawa ovyo kwa kipindi kirefu bila ya usimamizi wa madaktari,

4. Kupatwa na magonjwa kwa mfano TB, Saratani, HIV, Hepatitis B, Kisukari, n.k. 

Watu wengi katika jamii wanafaham kuwa UKIMWI unasababishwa na HIV tu, na kuacha kufikiri kuwa kuna vyanzo vingine vya UKIMWI. 

Tunakiri kuwa wataalam wa afya tumefanya makosa juu ya utoaji wa elimu kuhusu UKIMWI, lakini hakuna bajeti inayoandaliwa kwa ajili ya kuelimisha jamii kuwa tunakili tumefanya makosa ili jamii itambue na kukabiliana na kitu ambacho wataalam wa afya tulikikusudia ndani ya janga la UKIMWI.

Licha ya kuwa vyanzo vinavyoaminika na jamii kushindwa kufanya hivyo basi nichukue fursa hii ya kizalendo kutoa mchango wangu kuhusu HIV na UKIMWI.

UKIMWI ni hali ya upungufu wa kinga mwilini ambao unaambatana kwa pamoja na magonjwa zaidi ya matano mwilini, lakini kuna tafsiri kutoka kwa baadhi ya wataalamu wa afya kuwa upungufu huo wa kinga ukiambatana na ugonjwa wa TB tu, inatosha kusema muhusika ana UKIMWI. 

HIV ni virusi madhara ambavyo vinauwezo wa kusababisha mwilini hali ya UKIMWI. HIV inauwezo wa kuleta madhara ya UKIMWI iwapo vitaishi mwilini kwa kipindi zaidi ya miaka 8 na pia kuna baadhi ya virusi hivyo husababisha hali ya UKIMWI baada ya miaka 20 kuishi mwilini. 

Hapa tunajifunza ya kuwa hali ya UKIMWI kwa haraka husababishwa na hofu ( msongo wa mawazo ) anaokuwa nayo muhusika.

Msongo wa mawazo unaanza pale ambapo muhusika anahisi kuwa na virusi vya HIV mwilini au baada ya kupata majibu kuwa ameathirika.

Wataalamu wa afya waligundua kuwa Msongo wa mawazo ni chanzo kikubwa kinachosababisha hali ya UKIMWI, kwa sababu hii ndipo zilipoanza kutumika dawa za ARVs kupunguza kasi ya waathirika kuwa na UKIMWI kwa haraka kabla ya muda. Kwa hiyo yoyote yule anayetumia ARVs ni kwa ajili ya kuondoa msongo wa mawazo. 

Lakini viusi vya HIV vipo katika hali zake zile zile za muda kuelekea UKIMWI. ARVs ni dawa ambazo muathirika hutumia katika maisha yake yote, kwa kiwango kikubwa husababisha hali ya UKIMWI au kifo cha ghafla kwa muhusika 

Kwa maelezo zaidi kuhusu dawa za mfumo wa PHVs wasiliana nasi kwa simu namba +255782660707 au +255624066387 au whatsApp +25578660707

Je wajua?

Ni vyema  mtu kujitolea kupata elimu kiasi kuhusu magonjwa yanayoisumbua jamii sana. Kama vile magonjwa ya watoto wadogo na baadhi ya magonjwa kama vile Saratani ya fuko la uzazi, Saratani ya tezi dume, Saratani ya koo, HIV,  UTI, Malaria, Magonjwa ya kuhara, Kisukari, kifafa cha mimba, Shindikizo la damu kuwa juu au chini, Sonona na magonjwa ya ngozi. Ukiyafaham magonjwa haya utakuwa ni mwelewa wa namna ya kujikinga na kuchukua hatua maghsusi katika tiba sahihi.

Kwa maelezo zaidi kuhusu Dawa za mfumo PHVs wasiliana nasi kwa simu namba +255782660707 au +255624066387 au WhatsApp +255782660708

Thursday, September 21, 2023

MSONGO WA MAWAZO

Watu wengi wanashindwa kutambua hali ya msongo wa mawazo, Msongo wa mawazo ni hali inayompata mhusika wa hali na kufanikiwa kubadilisha mwenendo sawia kuwa katika hali isiyohitajika na mwili katika hali ya kawaida. Kwa mfano, siku zote nyumbani kwako unapika chakula jikoni, japokuwa unatambua kuwa moto ni hatari, lakini hatari hiyo unavyoichukulia ni kitu cha kawaida, ila iwapo siku moja ukaanguka kwenye moto huo siku nyingine ukiwa unapika jikoni tahadhari kubwa utaichukua kuliko ulivyokuwa unafanya mwanzo. Tahadhari ya hofu itabadilisha utaratibu wako uliouzoea, hivi ndivyo msongo wa mawazo unavyoweza kufanya kazi unabadilisha mifumo na seli mwilini na kuondosha uwiano wa utendaji kazi na kusababisha magonjwa. Msongo wa mawazo unaweza kusababishwa na elimu ndogo ya mazingira uliyoizoea kutoka kwa wazazi na walezi wakati unakua kuelekea utu uzima. Wakati mwingine msongo wa mawazo ujitengeneza iwapo mlezi au mzazi hasipowajibika ipasavyo katika kumpatia malezi bora mtoto. Kwa ufupi msongo wa mawazo  ujitokeza iwapo mhusika amekosa uvumilivu wa kukabiliana na changamoto ya mazingira yanayomzunguka kwa kukosa uwezo wa kutafakari kwa usahihi na kumudu hali inayojitokeza. Uwezo wa kiumbe kumudu msongo wa mawazo unaanza kwenye mpangilio wa seli zake mwilini, iwapo seli hizi zimeshindwa kuendana na hali, usambaratika na kuharibu uwiano wa utendaji kazi wa mwili na kusababisha magonjwa ya mwili kwa kadri ya hali na ukubwa wa msongo wa mawazo. Mazingira yanayo mzunguka Binadam katika hatua zake za ukuaji zinawezesha mwili kutengeneza seli ambazo zitaweza kushinda msongo wa mawazo katika maisha.  

Kwa maelezo zaidi kuhusu Dawa PHVs wasiliana nasi kwa simu namba +255624066387 au +255782660707 au whatsApp +255782660707

Tuesday, September 12, 2023

Historia za dawa zilizopita na mfumo mpya wa dawa

 Je wajua?

Kipindi tunapata uhuru wa Tanganyika ilibainika baada ya kufanyika sensa ya watu kuwa watanganyika walikua idadi ndogo isiyofikia hata milioni moja lakini hivi sasa Tanganyika (Tanzania bara) ina watu zaidi ya milioni hamsini, japokuwa kuna ongezeko la watu kutokana na uhamiaji wa kutoka nchi za nje lakini haiwezi kuwa sababu kubwa la ongezeko la watu namna hiyo. Na tukisema kuwa labda miaka ya 1700 ndio ulikuwa mwanzo wa watu kuishi Tanganyika bado kuna ushahidi kuwa katika eneo hili watu waliishi mda mrefu uliopita usiojulikana. Sasa ni kitu gani kimesababisha hili ongezeko kubwa la watu, unakuta kuwa ni uboreshaji wa huduma ya afya ambao ulifuata muongozo wa desturi za watu wa magharibi.

Asilimia kubwa ya watu kabla ya uhuru walipata huduma za afya kupitia tiba asili ambayo haikuwa na usimamizi mzuri na kusababisha watu kuwa na imani zisizosahihi juu ya ukweli wa afya zao na kusababisha vifo vingi hususani vya mama na mtoto. Baada ya uhuru serikali iliboresha huduma ya afya kwa kuirasimisha huduma ya afya zenye utamaduni wa nchi za kimagharibi ambapo ikawa ni mbadala wa tiba asili na kuleta mafanikio makubwa la ongezeko la watu. Ubora huu wa tiba ya afya kwa mifumo ya kimagharibi imejenga imani kubwa kwa  jamii na kusababisha tiba asili kusahaulika. Licha ya kuridhika na tiba ya mifumo ya nchi za kimagharibi bado kuna mapungufu ya mbinu za matibabu zinzotokana na mfumo huu mpya. Kwa mfano dawa asilimia kubwa zinazotumika zimegunduliwa miaka 1950 hadi  1970 ambazo zimepitwa na wakati katika ubora unaotakikana hivi sasa. Dawa zimekuwa zina madhara mengi kwa kubeba vitu visivyohitajika kutokana na teknolojia iliyotumika katika utengenezaji wa dawa hizo. Pia nadharia iliyobeba utengenezeji wa dawa hizo zimepitwa na wakati. Inaonyesha dhahiri dawa hizi hazitibu ipasavyo bali zinambadilishia mgonjwa maradhi ambayo hasipo pata lishe bora baada ya kipindi fulani kupita husababisha aina nyingine ya ugonjwa. Kwa hiyo nadharia zilizobeba  utengenezaji wa dawa zinahitajika zibadilishwe ili kwenda na wakati. Sisi tumekuja na nadharia tofauti ya utengenezaji wa madawa ambayo inaendana na wakati. Mfumo ambao umeanza kuingia Duniani miaka ya 1990 kutokana na uchunguzi tulioufanya ambao umebainisha kuwa kumbe kuna watu Duniani tunafanana mawazo katika nyanja za utafiti, lakini mfumo huo huko ughaibuni bado wataalam wanashindwa kuuboresha kwa kukosa maarifa toshelezi. Wataalam hao mfumo wao wanauita kwa jina la Gene therapy, ni sawa na mfumo tunaoutumia, lakini sisi tumeendelea zaidi kuliko wao kwani, sisi ni wabobezi katika elimu inayohusu Binadam katika kiwango cha molekyuli na dawa zetu ni za mfumo wa sumaku (magnetic therapy) ambayo imebeba Gene therapy. Mfumo huu ndio unaotumika kutengeneza dawa za PHVs.

Dawa zinazotengenezwa na mfumo huu zimeweza kuboresha hali ya matibabu nchini kwani magonjwa ambayo yalikuwa hayatibiki hivi sasa yanatibika kwa mfano HIV,homa ya ini (HEPATITIS B), kupooza (POLIO), COVID-19, kumeng’enyuka mifupa,pingili (OSTEOPOROSIS), POLYCYSTIC OVARIAN SYNDROM, seli mundu (SICKLE CELL DISEASE), udumafu wa ukuaji kwa mtoto (GROWTH RETARDATION), madawa ya kulevya isipokuwa sigara na bangi, kuodoa madhara ya madawa kama vile dawa za TB, ARVs, cocaine n.k magonjwa yote haya yanatibika na dawa moja inayoitwa PHV-39 Solution. Dawa hii inauwezo wa kuua kwa usalama mwilini aina mbalimbali za virusi, pia inarekebisha seli zote za mwili kurejea katika asili yake pamoja na mifumo unganishi mwilini. Pia kuna dawa inayoitwa PHV-30A414(PHV-AXIAL3), dawa hii inarejesha mfumo wa kinga kupitia Immoglobulin M (IgM) ambayo inaipa kila seli (kuteha) za mwili wako uwezo wa kujikinga iwapo mifumo mikubwa ya kinga imeshindwa kukinga mwili kwa wakati husika. PHV-26A414  (PHV-AXIAL2), dawa hii inasadia mwili kuwa katika hali ya utulivu, hususani mda wa usiku na unapo amka mwili huwa shwari bila ya maumivu mwilini. PHV-28/32A414 (PHV-DIAXIAL4) ni dawa ambayo unaufanya mwili kuwa na furaha yaani kama umepata usingizi unakuwa usingizi mzuri wenye ndoto za kupendeza kwako, na iwapo utaona jambo la kuleta furaha basi utafurahi kwa kiwango kinachostahili cha asili ya Binadam. PHV-ACTIVATOR, dawa hii inapunguza kitambi na kurejesha vyema kasi ya mzunguko wa damu mwilini, dawa hii ni nzuri kwa watu wenye presha ya kupanda na wale kina mama wenye kifafa cha mimba. PHV-INHIBITOR ni dawa ambayo inarejesha hali ya tendo la ndoa. PHV-VITALITY ni dawa ambayo inajenga ujasiri wa mwili kiafya,

Kwa maelezo zaidi kuhusu dawa za mfumo wa PHVs na magonjwa ya Binadam wasilana nasi kwa simu namba +255624066387, au +255782660707 au whatsApp +225782660707.

Neno la leo; Wazazi waekeeni misingi mizuri ya maisha watoto.

TUJIKUMBUSHE TUMETOKA WAPI NA HIVI SASA TUPO WAPI

Mwaka 1983; Bukoba, Ugonjwa HIV/AIDS umeshititi miongoni mwa watu wazima na kuacha watoto wadogo yatima, wakazi wa vijijini waanza kukimbia ...