Wednesday, March 18, 2020

CASE STUDY


CASE STUDY;
Istabella ni mgonjwa aliyegundulika Nchini Tanzania kuwa ana vimelea vya ugonjwa COVID-19.
Ni mgonjwa wa kwanza kwa Tanzania ambaye ametokea Belgium ambako huko aliishi na mgonjwa wa COVID-19 chumba kimoja nay eye binafsi akaona arudi Tanzania kwa hofu ya ugonjwa. Alifika Tanzania na ndege na kupimwa kwa vipimo vya kupima joto uwanja wa ndege KIA na kuruhusiwa kwenda na safari zake. Yeye binafsi aliona bora aende nyumba ya wageni na kupanga chumba ambapo baada ya siku moja kupita alianza kujisikia vibaya na ndipo akawasilia na watoa huduma ya afya na kulazwa katika Hospitali ya mount meru Arusha. Madaktari walimfanyia vipimo ikaonekana kuwa na vimelea vya ugonjwa wa COVID-19. Mgonjwa alikuja Tanzania kupitia uwanja wa ndege KIA tarehe14/3/2020 hadi hivi leo mgonjwa yupo vizuri asumbuliwi na chochote.
Swali; Je mgonjwa wa COVID-19 anaweza kupona bila ya kuumwa sana?
Jibu Ndiyo.
Sababu; Katika utafiti uliofanywa kuhusiana na damu ya Binadam imegundulika kuwa ina aina zaidi ya 50,000 za DNA vimelea, na watafiti hao wakashauli kuwa watu wasipendelee kuwekewa damu kutokana na uwepo wa DNA hizi.
Lakini kwa upande wa SARS-COV2 uwepo wa DNA hizi kwenye damu za wagonjwa wa COVID-19 ni wa manufaa kwani baadhi ya DNA uamka na kuwa virusi baada ya mwili kushambuliwa na kirusi SARS-COV2 ambapo ufanya uchotara na kusababisha mafua ya kawaida.
Pia ugonjwa wa COVID-19 hauwapati sana watoto chini ya umri wa miaka 18 kwa kuwa miili yao haijaimarisha kinga za kutosha na kuweza kuziua DNA zote za vimelea ndani ya damu zao ukilinganisha na watu wakubwa wenye kuanzia umri wa miaka 48.
Pia kuna suala linguine la kinadharia;
Uhakika wa vipimo nalo ni tatizo vinaweza kukosea katika utambuzi wa tatizo ikawa mgonjwa wetu alikuwa anaumwa mafua ya kawaida au hofu tu ya ugonjwa.
Pia mpimaji anaweza akawa amekosea au hana uzoefu wa kupima hicho kipimo.
YAKUZINGATIA;
  1. Asilimia kubwa ya wagonjwa wa COVID-19 upona kutokana na uwepo wa DNA za vimelea zaidi ya 50,000 katika damu zao.
  2. Wagonjwa wa HIV, Hepatitis B, TB, kisukali(Diabetic) na wengine wenye magonjwa sugu udhurika zaidi na SARS-COV2 kwa sababu ya kutumia madawa ambayo ni makali na kuua DNA za vimelea 50,000 zilizopo kwenye damu zao.
  3. Watu wenye umri mkubwa upata madhara zaidi kwa sababu wana kinga imara ambazo zimepelekea kuua kwa asilimia kubwa DNA za vimelea 50,000 vilivyokuwa katka damu zao.
TUNATOA CHANJO PHV AMBACHO NI KIRUSI RAFIKI KWA BINADAM KWA UPANDE WA SARS-COV2 ILI KUSHUSHA NAMBA YA DNA YA SARS-COV2 NA KUWA KIRUSI CHOTARA CHENYE KUSABABISHA MAFUA YA KAWAIDA.
Kwa wenye HIV, KISUKALI, MATATIZO SUGU YA NGOZI, HEPATITIS B, NA MAGONJWA MENGINE SUGU UNATAKIWA UTOE TAARIFA ILI UPATE HUDUMA SAHIHI KWA BEI TOFAUTI.

No comments:

Post a Comment

TUJIKUMBUSHE TUMETOKA WAPI NA HIVI SASA TUPO WAPI

Mwaka 1983; Bukoba, Ugonjwa HIV/AIDS umeshititi miongoni mwa watu wazima na kuacha watoto wadogo yatima, wakazi wa vijijini waanza kukimbia ...