Saturday, February 16, 2019

DARASA HURU KWA KISWAHILI


DARASA HURU KUHUSU UKIMWI
UKIMWI ni hali ya mwili kuwa na upungufu mkubwa wa kinga ambao unasabisha mwili kupatwa na magonjwa nyemelezi.
Mangonjwa nyemelezi usababishwa na wadudu ambao asili yake ni katika mwili wa binadam. Wadudu hawa kazi yao kubwa ni kuusaidia mwili kuweka sawa katika kiwango cha kemikali za mwili katika hali iliyo sawa. Na iwapo binadam atafikwa na umauti, hawa wadudu ndio uzaliana kwa wingi kwa sababu tayari DNA ya mwili wa binadam inapoteza mahesabu yake nyoofu katika utendaji, mwili wa binadam uoza kwa kuwa na ongezeko kubwa la wadudu hawa. Mtu akiwa ameathirika na HIV (CHRRRV) tayari anapoteza mahesabu nyoofu katika DNA yake na kupelekea wadudu hawa kuzaliana zaidi kuliko kawaida na kusababisha magonjwa nyemelezi. Kwa hiyo kutokana na mantiki hii UKIMWI ni dalili ya kifo. Sivyema kumshika mtu mwenye UKIMWI au aliyekufa bila ya kuwa na vizuizi puani, mdomoni na mikononi, yaani ni vema uvae mipila mikononi na uvae mask kwa ajiri ya kujizuia usipate magonjwa nyemelezi.
VISABABISHI VYA UKIMWI
Hali ya UKIMWI ujitokeza kwa binadam kwa haraka iwapo, atakuwa amepatwa na visababishi zaidi ya kimoja na pia, uchukua mda mrefu kuwa katika hali ya UKIMWI, iwapo atakuwa amepatwa na kisababishi kimoja.
Visababisho vya UKIMWI vimegawanyika katika makundi matano;
1.    Ukosefu wa viini lishe mwilini kwa mda mrefu.
2.    Matumizi ya ovyo na ya mda mrefu ya baadhi ya dawa. Kwa mfano dawa za saratani, madawa ya kulevywa, ARVs, dawa za TB na kadharika.
3.  Msongo wa mawazo. (Stress) na hii ndio sababu kubwa watu wengi wakiambiwa kuwa wameathirika ndio inayosababisha haraka mtu kuwa na UKIMWI, yenyewe bila ya HIV inauwezo mkubwa kukusababishia UKIMWI.
4.  Magonjwa sugu, kwa mfano, TB, Kisukari, Saratani, magonjwa ya tezi ya shingo, baadhi ya matatizo ya figo, ini, moyo, ubongo na kadharika yakifikia hatua fulani usababisha hali ya UKIMWI.
5.    Baadhi ya virusi kwa mfano HIV (CHRRRV) na kadhalika.

Kwa kiwango kikubwa janga la UKIMWI usababishwa na mchanganyiko wa visababishi vifuatavyo;
a.)
1.    Virusi vya HIV (CHRRRV).
2.    Ukosefu wa viini lishe mwilini.
3.    Msongo wa mawazo wa mda mrefu.
b.)
1.    Matumizi ya ARVs kwa mda mrefu.
2.    Magonjwa sugu, mfano TB, KIsukari, Matatizo ya ini, Saratani na kadhalika.
Tahadhali ukipatwa na sababu zilizotajwa katika maelezo hapo juu, hayana ulazima ya wewe kuwa na UKIMWI ila chukua hatua stahiki na za haraka ili usije fikia hatua ya mwisho ambayo ni UKIMWI.
Tumia chanjo PHV mapema ili kuepukana na matatizo yanayosababishwa na virusi vya HIV na dawa za ARVs, kwani chanjo PHV uondoa virusi vya HIV mwilini bila madhara ya aina yoyote yale, pia uimarisha mwili kwa kuipa DNA yako mahesabu nyoofu ya mwili wa binadam na kuzuia kujitokeza kwa magonjwa nyemelezi, uondoa kemikali zisizohitajika mwilini ambazo zinatokana na matumizi ya madawa pamoja na unyonyaji wa viini lishe visivyohitajika mwilini.
Utakapopata chanjo PHV, tafadhali zingatia maelezo utakayopewa, kwa maelezo zaidi kuhusu chanjo PHV wasiliana name kwa simu namba +255782660707 au tuma meseji au whatsapp +255782660707  

1 comment:

  1. Matibabu ni kwa muda gani na gharama zake tafadhali 🙌🏼

    ReplyDelete

TUJIKUMBUSHE TUMETOKA WAPI NA HIVI SASA TUPO WAPI

Mwaka 1983; Bukoba, Ugonjwa HIV/AIDS umeshititi miongoni mwa watu wazima na kuacha watoto wadogo yatima, wakazi wa vijijini waanza kukimbia ...